Mkurugenzi mkuu wa kiwanda cha sukari kager bwana Nasoro Self akimuonyesha mjumbe wa bodi ya pspf bibi Edna Mangesho chombo cha setilait kinachoongoza treka linalo andaa shamba kwa ajili ya kupanda miwa ujumbe huo ulitembelea kujionea maendeleo ya kiwanda hicho hivi karibuni.
Bwana Laiza yeye nimtalamu wa umwagilia akitoa maelezo kwa wajumbe wa bodi ya pspf jinsi mtambo wa kisasa wa umwagilia maji na mbolea katika mashamba ya miwa kagera





0 maoni:
Post a Comment