Waziri Mkuu, MIzengo Pinda akijibu maswali Bungeni Mjini Dodoma Julai 14, 2011.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kizungumza na Mbunge wa Ilala Azan Zungu kwenye jengo la utawala la Bunge Mjini Dodoma Julai 14, 2011. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo PInda akizungumza na Ujumbi kutoka Taasisi ya Hifadhi ya Jamii ya Ghana, Ofisini kwake Bungeni Mjini Dodoma Julai 14,2011. Kulia kwake ni Waziri wa Kazi na Ajira , Gaudencia Kabka. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Waziri Mkuu, Mizengo PInda akizungumza na Ujumbi kutoka Taasisi ya Hifadhi ya Jamii ya Ghana, Ofisini kwake Bungeni Mjini Dodoma Julai 14,2011. Kulia kwake ni Waziri wa Kazi na Ajira , Gaudencia Kabka. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimshukuru Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Hifadhi ya Jamii ya Ghana, Dr. Grand Sapara, Ofisini kwake, Bungeni Mjini Dodoma Julai 14, 2011.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)





0 maoni:
Post a Comment