Tuesday, July 31, 2012

RAIS KIKWETE AFUTURISHA MKOANI LINDI

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akishiriki katika swala ya Magharibi na waumini wengine wa Mkoa wa Lindi aliowakaribisha katika futari Ikulu ndogo ya Mkoani Lindi leo Julai 30, 2012
 Mkuu wa Mkoa a Lindi Mhe Ludovick Mwananzila akishiriki katika futari hiyo pamoja na waalikwa wengine
 Waalikwa wakipakua futari
 Kadhi wa Mkoa wa Lindi ambaye pia ni Shekhe Mkuu wa Mkoa Mohamed Saidi Mushangani akitoa neno la shukurani baada ya futari
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwashukuru waalikwa kwa kuhudhuria katika hafla ya futari aliyoandaa
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wageni waalikwa baada ya kufuturu
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mkuu wa Magereza wa Mkoa wa Lindi (kushoto) na Mkuu wa Idara ya  Uhamiaji ya mkoa waliokuwa miongoni mwa wageni waalikwa
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na wageni wake baada ya futari

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU