Friday, July 13, 2012

WAZIRI MKUU PINDA AKUTANA NA MJUMBE TOKA MAREKANI

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Naibu Mshauri wa Masuala ya Usalama  katika nyanja ya Kimataifa wa Marekani, Bw. Michael Froman kabla ya Mazungumzo yao Jijini Dar es salaam Julai 13,20132. Kulia ni Balozi wa Marekani Nchini, Bw. Alfoonso E. Lenhardt.
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza  na Naibu Mshauri wa Masuala ya Usalama  katika nyanja ya Kimataifa wa Marekani, Bw. Michael Froman kabla ya Mazungumzo yao Jijini Dar es salaam Julai 13,20132.Kulia ni Balozi wa Marekani Nchini, Bw. Alfonso E. Lenhardt. 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiongozana na Naibu Mshauri wa Masuala ya Usalama  katika nyanja ya Kimataifa wa Marekani, Bw. Michael Froman (kushoto)baada ya kutia saini makubaliano ya awali  kati ya Marekani  na tanzania , ofini kwake jijini Dar es salaam Julai 13, 2012.Wapili kulia  ni Balozi wa Marekani Nchini, Bw. Alfonso E. Lenhardt. Kulia ni Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo.

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU