Thursday, August 2, 2012

EXTRA BONGO WAKIFANYA SHOO KATIKA JIJIJ LA TEMPERE FINLAND

 Wacheza shoo wa kike wa Bendi ya Extra Bongo wakiongozwa na kiongozi wa wacheza shoo wa kike, Otilia Boniphace wakicheza wakati wa onyesso lao maalum jijini Tempere Finland
 Kiongozi wa wawacheza shoo, Super Nyamwela akicheza wakati wa onyesho hilo
 Danger Boy akicheza wakati wa onyesho hilo
 Mpiga Bass, Hoseah Mgoachi akilichaka Gitaa wakati wa onyesho hilo
Waimbaji wakicheza wakatiti wa onyesho hilo,kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Bendi hiyo, Ally Chocky, Bob Kissa na Athanas Motanabe

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU