Monday, August 6, 2012

KOZI YA UTAWALA IMEFUNGULIWA RASMI NA RAIS WA TFF

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) amefungua rasmi Kozi ya Uongozi na Utawala ya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) inayoanza leo Agosti 6 mwaka huu Msimbazi Center jijini Dar es Salaam.

Kozi hiyo ina washiriki zaidi ya 30 itamalizika Agosti 11 mwaka huu na itaendeshwa na Wakufunzi kutoka FIFA na imefunguliwa leo saa tatu asubuhi.

 Wakufunzi hao ni Barry Rukoro anayetoka Namibia, Henry Tandau (Tanzania) na Senka Kanyenvu (Botswana).

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU