Sehemu ya umati mkubwa wa watu wakishudia bango hilo
linalodhihirisha ubora na usahihi mkubwa wa Bia ya Ndovu Special malt
Tangazo la Ndovu Special
Malt la 3D…Ni la kwanza Tanzania na lipo katika kiwango tofauti sana
kinachoweza kumfanya mtu na mpenzi wa bia hiyo kupata wasaaa wa kuona kile
kinachoifanya bia hiyo kuwa tofauti naya kimataifa zaidi
Wananchi mbalimbali wa jiji la Dar Es Salaam
wakishuhudia namna bia ya Ndovu Special Malt ilivyofanikiwa kuwekwa katika
teknolojia ya hali ya juu zaidi naya Kwanza Nchini Tanzania ya 3D ambayo
inamfanya mtu kuweza kuona picha hizo kwa ukaribu mkubwa zaidi na ubora
Zaidi.Bango hilo lipo eneo la Conner Bar Sinza







0 maoni:
Post a Comment