Wagombea 36 wamejitokeza kuchukua fomu
za kugombea uongozi katika chama cha soka mkoa wa DSM DRFA lakini ni mgombea
mmoja anbaye hajarudisha fomu hiyo Self Magari.
Mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi ya DRFA
JUMA SIMBA amesema baada ya kupitia majini yote yameonikana yamekidhi vigezo
lakini kunakipengele kimoja cha uendeshaji ambacho wameshindwa kuelewa hivyo wameomba muongozo
katika kamati ya uchaguzi ya TFF .
Katika nafasi ya kugombea uwenyekiti ni
wagombea sita wamechukua fomu, makamu mwenyekiti ni wagombea watano ,mweka
hazina mmoja na wajumbe mbalimbali .
Uchaguzi wa DRFA umepangwa kufanyika
DESEMBA mwaka huu.
0 maoni:
Post a Comment