Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akisalimiana na Balozi wa India Nchini Tanzania, Dednath Shaw,
wakati alipofika Ofisini kwa Makamu Ikulu jijini Dar es Salaam,
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akizungumza na Balozi wa India Nchini Tanzania, Dednath Shaw,
wakati alipofika Ofisini kwa Makamu Ikulu jijini Dar es Salaam,
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akipoea zawadi kutoka kwa Balozi wa India Nchini Tanzania,
Dednath Shaw, baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika Ofisini kwa Makamu
Ikulu jijini Dar es Salaam,
0 maoni:
Post a Comment