Thursday, November 8, 2012

PAMBANO LA LIGI KUU YA GRAND MALT YA ZANZIBAR KATI YA TIMU YA MALINDI NA DUMA KWENYE UWANJA WA AMAAN MJINI ZANZIBAR JANA MALINDI ILIICHABANGA DUMA MABAO 2 - 0.

 Mshambuliaji wa Malindi Abdallah Abbas (kulia) akituliza mpira mbele ya mlinzi wa Duma, Mohamed Omar Mussa, ligi kuu ya Grand Malt ya Zanzibar kwenye uwanja wa Amaan mjini Zanzibar jana.
 Mshambuliaji wa Malindi, Abdallah Abbas (kulia) akichuana vikali na mlinzi wa Duma, Mohamed Omar Mussa kwenye uwanja wa Amaan.
Mlinzi wa timu ya Duma, Mohamed Omar Mussa (kushoto) akipambana na mshambuliaji wa Malindi, Abdallah Abbas, ligi kuu ya Grand Malt ya Zanzibar, uwanja wa Amaan jana.

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU