Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwasili kutoa
heshima zao za mwisho na kuuaga mwili wa marehemu Jackson Makwetta
ambaye kabla ya kufariki kwake juzi alipata kuwa Mbunge na waziri katika
wizara mbalimbali
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka sahihi kwenye kitabu cha maomboleza
alipofika kutoa heshima zake za mwisho na kuuaga mwili wa marehemu
Jackson Makwetta ambaye kabla ya kufariki kwake juzi alipata kuwa Mbunge
na waziri katika wizara mbalimbali
Mke wa Rais Mama Salma akiwafariji wana familia wa marehemu Jackson
Makwetta ambaye kabla ya kufariki kwake juzi alipata kuwa Mbunge na
waziri katika wizara mbalimbali
Makamu wa Rais Dkt Ghalib Mohamed Bilali akitoa heshima zake za mwisho
na kuuaga mwili wa marehemu Jackson Makwetta ambaye kabla ya kufariki
kwake juzi alipata kuwa Mbunge na waziri katika wizara mbalimbali
Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda akitoa heshima zake za mwisho na kuuaga
mwili wa marehemu Jackson Makwetta ambaye kabla ya kufariki kwake juzi
alipata kuwa Mbunge na waziri katika wizara mbalimbali
Spika wa Bunge Mhe Anne Makinda akitoa heshima zake za mwisho na kuuaga
mwili wa marehemu Jackson Makwetta ambaye kabla ya kufariki kwake juzi
alipata kuwa Mbunge na waziri katika wizara mbalimbali
Waziri Mkuu Mstaafu Mhe Cleopa David Msuya akitoa heshima zake za mwisho
na kuuaga mwili wa marehemu Jackson Makwetta ambaye kabla ya kufariki
kwake juzi alipata kuwa Mbunge na waziri katika wizara mbalimbali
Waziri William Lukuvi akitoa heshima zake za mwisho na kuuaga mwili wa
marehemu Jackson Makwetta ambaye kabla ya kufariki kwake juzi alipata
kuwa Mbunge na waziri katika wizara mbalimbali
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Mhe Philip Mangula akitoa heshima zake
za mwisho na kuuaga mwili wa marehemu Jackson Makwetta ambaye kabla ya
kufariki kwake juzi alipata kuwa Mbunge na waziri katika wizara
mbalimbali
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji mjane wa marehemu baada ya akitoa
heshima zake za mwisho na kuuaga mwili wa marehemu Jackson Makwetta
ambaye kabla ya kufariki kwake juzi alipata kuwa Mbunge na waziri katika
wizara mbalimbali
0 maoni:
Post a Comment