Naibu waziri wa kilimo na ushirika mh Adamu malima akijadiliana jambo na
katibu mkuu wa sayansi nautafiti wakatikati ni Profesa Hassanata
Millogo ambaye ni mgeni rasimi katika mkutano ambao serekali ya tanzania
na wabunge wana hudhuria
nchini bokina Faso jinsi ya uzalishaji wa pamba kwakutumia teknolojia
mpya ya uhaulishaji (BET) kulia ni mkurugenzi mkuu wa ushirikiano wa
maendeleo afrika (NEPAD) Prof Diran Makinde mkutno huo wa mafunzo niwa
siku tano amabao umeandaliwa na NEPAD na Tume ya sayansi tanzania
Costech picha na chris mfinaga bukina faso
Naibu waziri ofisi ya makamu wa raisi anaye shughulikia mazingira mh
Chales Kitwanga katikati akimsikiliza mwana sheria wa ofisi ya makamu
waraisi walipokuwa katika mkutano wa mafunzo ya teknolojia ya
uhaulishaji wa zao la pamba nchini bukina faso kulia kushoto ni kaimu
mkurugenzi wa utafiti costech Dr Nicholas Nyange ujumbe huo upo nchini
bukina faso kwa muda wa siku tano picha na chris mfinanga
Picha ya pamoja ya ujumbe wa tanzania na wenyeji wao nchini bukina faso
0 maoni:
Post a Comment