Sunday, November 25, 2012

UJUMBE WATANZANIA ULIOPO NCHINI BURKINA FASO WASHANGAZWA NA WINGI WAPAMBA INAYO TOKANA NA TEKNOLOJIA YA UHAULISHAJI (BT)

Shehena ya pamba iliyo iliyopo katika katika kiwanda cha kuchambulia mkoa wa Bobo nchini Burkina faso
 Naibu waziri ofisi ya makamu wa raisi anaye shugulikia mazingiara mh Charles Kitwanga akiwa na mkurugenzi wa sayansi tanzania Prof Evelyene Mbede wakiangalia zao lapamba inayo limwa kitika mkoa wa Bobo nchini Burkina faso kwatumia teknolojia ya uhaulishaji BT picha na chris mfinanga
 Waziri wa sayansi na technolojia Prof Makame Mbarawa akipata maelezo kutoka kwa bwana Sanu Zessouma ambaye ni mkulima wa pamba inayolimwa kwakutumia BT inavyo toa mazao mengi kusho ni mkurugenzi mkuu wa bodi ya pamba tanzania bwana Marko Mtunga  ujumbe huo watanzania upo nchini Burkina faso katika ziara ya  kujifunza ukulima wa teknolojia ya uhaulishaji pamba picha na chris mfinanga
Ujumbe wa tanzania pamoja na wenyeji wazira ya mafunzowakiwa katika picha ya pamoja katika kiwanda cha kuchambulia pamba

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU