Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wenzie wa nchi wanachama wa
Jumuiya ya Afrika Mashariki wakiangalia mfano wa jengo jipya la makao
makuu ya Jumuiya hiyo pamoja na maelezo yake baada ya kulifungua rasmi
Novemba 28, 2012 jijini Arusha
Mfano wa jengo la Makao makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na wakuu wenzie wa nchi wanachama wa Jumuiya
ya Afrika Mashariki wakiwa katika picha ya pamoja na wadau pamoja na
wabunge wa Afrika Mashariki
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wenzie wa nchi wanachama wa
Jumuiya ya Afrika Mashariki wakiwa katika chemba ya mikutano ya Bunge
la Jumuiya ya Afrika mashariki katika jengo jipya la makao makuu ya
Jumuiya baada ya kulifungua rasmi Novemba 28, 2012 jijini Arusha
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wenzie wa nchi wanachama wa
Jumuiya ya Afrika Mashariki wakikata utepe kufungua rasmi jengo jipya la
makao makuu ya Jumuiya Novemba 28, 2012 jijini Arusha.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wenzie wa nchi wanachama wa
Jumuiya ya Afrika Mashariki wakifunua pazia kufungua rasmi jengo jipya
la makao makuu ya Jumuiya Novemba 28, 2012 jijini Arusha
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wenzie wa nchi wanachama wa
Jumuiya ya Afrika Mashariki wakitembelea sehemu mbali mbali za jengo
jipya la makao makuu ya Jumuiya baada ya kulifungua rasmi Novemba 28,
2012 jijini Arusha
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wenzie wa nchi wanachama wa
Jumuiya ya Afrika Mashariki wakitembelea sehemu mbali mbali za jengo
jipya la makao makuu ya Jumuiya baada ya kulifungua rasmi Novemba 28,
2012 jijini Arusha. Hapa ni katika chumba cha mahakama ya jumuiya hiyo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wenzie wa nchi wanachama wa
Jumuiya ya Afrika Mashariki wakishuhudia Mwenyekiti wa Jumuiya Rais
Mwai Kibaki wa Kenya akizindua rasmi mfumo wa kisasa wa kuunganisha
shughuli za ushuru wa forodha kwa njia ya mtandao katika jengo jipya la
makao makuu ya Jumuiya baada ya kulifungua rasmi Novemba 28, 2012
jijini Arusha
0 maoni:
Post a Comment