





WASHINDI wa droo ya pili ya shindano la ‘Shinda Noah’ linaloratibiwa na Kampuni ya Global Publishers & General Enterprises Limited, mapema leo wamekabidhiwa zawadi zao walizoshinda katika bahati nasibu hiyo iliyochezeshwa Oktoba 31 mwaka huu kwenye viwanja vya Karume jijini Dar es Salaam.
Zawadi hizo zimekabidhiwa na mmoja wa wadhamini wa droo hiyo, ambaye pia ni Mkuu wa Chuo cha Zoom Polytechnic, Gaudios Shija, na Afisa Masoko wa Global Publishers, Benjamin Mwanambuu, katika makao makuu ya ofisi za Global Publishers yaliyopo Bamaga, Mwenge jijini Dar es Salaam.
Zawadi hizo zimekabidhiwa na mmoja wa wadhamini wa droo hiyo, ambaye pia ni Mkuu wa Chuo cha Zoom Polytechnic, Gaudios Shija, na Afisa Masoko wa Global Publishers, Benjamin Mwanambuu, katika makao makuu ya ofisi za Global Publishers yaliyopo Bamaga, Mwenge jijini Dar es Salaam.
0 maoni:
Post a Comment