Timu ya Yanga inatarajia kwenda Uturuki kuweka kambi ya wiki
mbili kujiandaa na mashindano ya kombe la Kagame na Ligi kuu Tanzania Bara mara
ya pili. Mwenyekiti wa kamati ya usajili ya Yanga Abdalla Bincleb amesema timu
itaondoka December baada ya sikukuu ya Christmas ambapo watacheza mechi tatu za
kirafiki na kurudi nyumbani ambapo watacheza
mechi nyingine za kirafiki.
Kwenda kwa Timu hiyo Uturuki ni ombi la kocha wa Yanga
ambaye ameona Uturuki ni sehemu nzuri kwa ajili ya mashindano.
0 maoni:
Post a Comment