Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi Mkurugenzi Mkuu wa Tanzania Distilleries Bw David Mgwassa kombe la ushindi wa mwaka wa uzalishaji
bora nchini katika hafla ya Shirikisho la Wenye Viwanda nchini (CTI)
usiku wa kuamkia leo Ijumaa Desemba
14, 2012 katika hoteli ya Serena Inn. Kulia ni Mwenykiti wa makampuni
ya IPP Dkt. Rginald Mengi na Kushoto ni Bw. Arnold Kileo.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na wafanyakazi na wadau wa Tanzania Distilleries bada ya kunyakua kombe la ushindi wa mwaka wa
uzalishaji bora nchini katika hafla ya Shirikisho la Wenye Viwanda
nchini (CTI) usiku wa kuamkia leo Ijumaa Desemba 14, 2012 katika hoteli ya Serena Inn.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi Mkurugenzi Mkuu wa Tanzania Distilleries Bw David Mgwassa kombe la ushindi wa mwaka wa
uzalishaji bora nchini katika hafla ya Shirikisho la Wenye Viwanda
nchini (CTI) usiku wa kuamkia leo Ijumaa Desemba 14, 2012 katika hoteli ya Serena Inn.
Mzee Arnold Kileo akimpongeza Mkurugenzi Mkuu wa Tanzania Distilleries Bw David Mgwassa kwa kutwaa kombe la ushindi wa mwaka wa
uzalishaji bora nchini katika hafla ya Shirikisho la Wenye Viwanda
nchini (CTI) usiku wa kuamkia leo Ijumaa Desemba 14, 2012 katika hoteli ya Serena Inn.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na washindi wa nyanja mbalimbli za uzalishaji bora nchini katika hafla ya Shirikisho la Wenye Viwanda nchini (CTI) usiku wa kuamkia leo Ijumaa Desemba 14, 2012 katika hoteli ya Serena Inn.
0 maoni:
Post a Comment