Aliyekuwa katibu zamani FAT MICHAEL WAMBURA amechukua fomu ya kugombea nafasi ya makamu mwenyekiti wa TFF huku akisema kuwa hategemei mizengwe kutokea kama kipindi cha nyuma kwani kamati ya uchaguzi itatenda haki kipindi cha pingamizi.
Idadi
kamili ya waliochukua Michael Wambura, Ramadhan Nassib na Wallace Karia
(Makamu wa Rais). Kwa upande wa wajumbe na kanda zao kwenye mabano ni
Salum Chama (Kagera na Geita), Mugisha Galibona, Samuel Nyalla, Titus
Osoro na Vedastus Lufano (Mara na Mwanza).
Epaphra
Swai na Mbasha Matutu (Shinyanga na Simiyu), Charles Mugondo, Elly
Mbise na Twahili Njoki (Arusha na Manyara), Yusuph Kitumbo (Kigoma na
Tabora), Ayubu Nyaulingo, Nazarius Kilungeja na Selemani Kameya (Katavi
na Rukwa) na James Mhagama (Njombe na Ruvuma).
Athuman
Kambi (Lindi na Mtwara), Hussein Mwamba na Stewart Masima (Dodoma na
Singida), Farid Nahdi (Morogoro na Pwani), Khalid Mohamed (Kilimanjaro
na Tanga) na Muhsin Balhabou, Shaffih Dauda na Zafarani Damoder (Dar es
Salaam).
Naye Said Mohamed amechukua fomu ya kuwania umakamu mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Kuu (TPL Board).
0 maoni:
Post a Comment