Tuesday, January 15, 2013

YANGA MDOMONI MWA BLACK LEOPARD YA AFRIKA KUSINI JUAMAMOSI TAIFA




TIMU ya BLACK LEOPARD inayoshiriki ligi kuu ya AFRIKA KUSINI inatarajia kuwasili nchini keshokutwa kucheza mchezo wa kirafiki JANUARY 19 utakapigwa katika dimba la TAIFA majira ya saa kumi jioni.

Katibu mkuu wa YANGA LAWRENCE MWALUSAKO amesema kwa kushirikiana na kampuni ya PRIME TIME PROMOTION wameamuu kuleta timu hiyo ili kuwonyesha mashabiki timu yao baada ya kutoka nchini UTURUKI walikuwa wameweka kambi ya pamoja huku kiongozi wa PRIME TIME SHAFII DAUDA akisema wameamua kusimamia mechi hyo pamoja na mkutano wa YANGA utakaofanyika JANUARI 20 mwaka huu.

Kufuati timu ya YANGA kuwa nje kwa takribani wiki mbili itatoa burudani kwa msabiki wake kuwaonyesha kiwango cha soka baada ya kutoka UTURUKI.

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU