MABONDIA Deo Njiku wa Morogoro na Omary Ramadhani wataingia uringoni February 14 katika ukumbi wa Friends Corner Hotel Manzese 14 kuwania Ubingwa wa Tanzania PST
Mpambano huo wa aina yake
unatarajiwa kuwa wa kusisimua kutokana kila mtu kuwa na rekodi nzuri
mpambano uho utakaosindikizwa na mpambano mwingine wa ubingwa kati ya Godfrey Silver na Adam Yahya ambapo mipambano hiyo itakuwa ya raundi kumi
Huku
kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi Nchini, Rajabu Mhamila 'Super
D' atampandisha kwa mara ya kwanza bondia wake mpya Iddy Mnyeke kuvaana
na Sadiki Momba mpambano utakaopigwa kwa raundi nne
Mgeni rasmi siku hiyo anatsrahjiwa kuwa ni Kamanda
wa polisi mkoa wa Kipolisi wa kinondoni Charles Kenyela atakaewafisha mikanda ya ubingwa
0 maoni:
Post a Comment