Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Rais Mstaafu awamu ya Pili Mzee Ali
Hassan Mwinyi,Rais Mstaafu awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa na
Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa wakishiriki ibada ya Mazishi ya
Askofu Dkt.Thomas Laizer iliyofanyika katika kanisa na Usharika wa mjini
Kati.mjini Arusha leo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka shada la Maua katika kaburi la
Marehemu Askofu Dkt.Thomas Laizer wakati wa mazishi yaliyofanyika katika
Kanisa KKKT Usharika wa mjini Kati,Arusha mjini leo.
Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania
(KKKT),Askofu Dk. Alex Malasusa akiongoza ibada ya Mazishi ya Askofu Thomas Laizer leo katika kanisa la KKKT Usharika wa mjini Kati,jijini Arusha.
Rais Dkt,Jakaya Mrisho Kikwete akiteta jambo na Rais Mstaafu wa Awamu ya
Tatu,Mh. Benjamin William Mkapa wakati wa Mazishi ya Askofu Thomas
Laizer leo katika kanisa la KKKT Usharika wa mjini Kati
Rais Dkt,Jakaya Mrisho Kikwete akiteta jambo na Kiongozi wa Kambi ya
Upinzani Bungeni Freeman Mbowe wakati wa Mazishi ya Askofu Thomas Laizer
leo katika kanisa la KKKT Usharika wa mjini Kati(picha na Freddy Maro)
Rais Dkt,Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia mkono baadhi ya waombolezaji
waliofika kwenye mazishi ya ya Askofu Thomas Laizer leo katika kanisa la
KKKT Usharika wa mjini Kati.
0 maoni:
Post a Comment