Monday, May 27, 2013

BIG BROTHER AFRICA INAYODHAMINIWA NA AIRTEL YAZINDULIWA RASMI

 Mkurugenzi wa Bendi ya Twanga pepeta Asha Baraka (kulia) akichezesha droo iliyoandaliwa na Airtel wakati wa Uzinduzi wa Big Brother Africa program inayoendeshwa na kampuni ya Multhoice – DSTV ambapo Airtel  ni wadhamii. akishuhudia ni mtangazaji wa Radio ya Clouds FM MIllad Ayo
 Mshindi wa droo iliyochezeshwa wakati wa uzinduzi wa program ya Big brother Afrika  Akionyesha Samngung tablet aliyozawadiwa na Airtel baada ya kuchaguliwa mshindi wakati wa halfa  ya   uzinduzi wa program ya Big Brother Africa  8 iliyofanyika katika ukumbi wa Samakisamaki mjini jijini Dar es Salaam
 Maafisa wa Airtel Tanzania kitengo cha Airtel money wakitoa elimu kwa wateja waliohudhuria uzinduzi wa Big Brother Afrika namna ya kulipia DSTV kwa kupitia Airtel Money. Airtel ni wadhamni wa Big Brother Africa – The Chase inayoendeshwa na DSTV.
 Mtangazaji wa Radio na TV  Salma Msangi (kulia) akisoma jina la mshindi wakati wa droo iliyochezeshwa kwenye uzinduzi wa wa program ya Big Brother Africa  8 iliyofanyika katika ukumbi wa Samakisamaki ambapo Airtel ni wadhani wa program hiyo kwa mwaka huu 2013. Pichani (kushoto ) ni mtangazaji wa Radio ya Clouds FM MIllad Ayo akishuhudia katika ni Afisa mauzo  kitengo cha Airtel money Salome Mauki
Afisa huduma kwa wateja kitengo cha Airtel Money  Bi Puncenciana Mhally akiongea na wateja wakati wa uzinduzi wa program ya Big Brother Africa  8 iliyofanyika katika ukumbi wa Samaki samaki mjini ambapo Airtel ni wadhani wa program hiyo kwa mwaka huu 2013  inayoendeshwa na kampuni ya Multhoice – DSTV

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU