 |
| Mkurugenzi
Mtendaji wa Kiwanda cha Konyagi cha Tanzania Distilleries Limited
(TDL), David Mgwassa (kulia) akizungumza katika mkutano na waandishi wa
habari, Dar es Salaam jana, ambapo alilalamikia kitendo cha baadhi ya
magazeti yenye uhusiano wa nchi jirani, yanayotumika kuchafua bidhaa za
TDL. Kushoto ni Meneja Masoko wa TDL, |
|
|
Baadhi ya wanahabari wakisikiliza kwa makini wakati Mgwassa akilalamikia jambo hilo
0 maoni:
Post a Comment