Friday, May 10, 2013

BOSS WA KONYAGI ALALAMIKIA VIWANDA VINAVYOTUMIA MAGAZETI YENYE UHUSIANO WA NCHI JIRANI KUCHAFUA BIDHAA ZA TDL


Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Konyagi cha Tanzania Distilleries Limited (TDL),  David Mgwassa (kulia) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana, ambapo alilalamikia kitendo cha baadhi ya magazeti yenye uhusiano wa nchi jirani, yanayotumika kuchafua bidhaa za TDL. Kushoto ni Meneja Masoko wa TDL,

Baadhi ya wanahabari wakisikiliza kwa makini wakati Mgwassa akilalamikia jambo hilo

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU