Bingwa
Mtetezi wa mashindano ya Pool yajulikayo kama Safari Lager Pool Higher Learning
Pool Competitio 2013 Mkoa wa Dar es Salaam na Taifa, Peter Patrick akiwa
amebebwa na mashabiki mara baada ya kutwaa ubingwa wa Mkoa wa Dar es Saalaam
tena wakati wa mashindano hayo yaliyomalizika mwishoni mwa wiki Meeda Sinza
jijini Dar es Salaam.
Mabingwa wa
mchezo wa Pool Mkoa wa Dar es Salaam,CBE wakishangilia na kitita cha
sh.500,000 mara baada ya kuibuka washidi
katika mashindaano hayo yajulikanyo kama Safari Lager Pool Higher Learning Pool
Competitio 2013 yaliyomalizika mwishoni mwa wiki Meeda Sinza jijini Dar es
Salaam
0 maoni:
Post a Comment