Bingwa wa mashindano ya Pool yajulikayo kama Safari
Lager Pool Higher Learning Pool Competitio 2013 Mwanza, Vitalis Bakilane akiwa amebebwa na mashabiki
mara baada ya kutwaa ubingwa wa Mkoa wa Dar es Saalaam tena wakati wa
mashindano hayo yaliyomalizika mwishoni mwa wiki katika Ukumbi wa Villa Park
jijini Mwanza
Nahodha wa
timu ya Chuo cha St.Augustine (SAUT),Jimy Nikas akionyesha kitita cha
sh.500,000 mara baada ya chuo hicho kutetea ubingwa wa mashindano ya Safari
Lager Pool Higher Learning Pool Competitio 2013 Mwanza yaliyomalizika mwishoni
mwa wiki katika ukumbi wa Villa Park.
0 maoni:
Post a Comment