Tuesday, May 28, 2013

MSANII WA BONGO FLAVA MANGWAIR AFARIKI DUNIA LEO AKIWA SOUTH AFRIKA

 
Mwanamuziki wa Hip-Hop ALBERT MANGWAIR amefariki dunia jana usiku huko Afrika Kusini katika hospitali ya Hellena Joseph.
Alikuwa Ghetto Moja Na Msanii M To The P. Walivyokwenda Kuwagongea Asubuhi Walikuta Ngwear Amefariki Na M To The P Amepoteza Fahamu Kabisa. 
Pia Daktari Ameshatoa Taarifa Kwa Watu Wa Karibu Wa Ngwear Huko South Africa.  
Ngwea akiwa na msanii M to the P. mtu wa karibu anasema walitakiwa kurudi Dar leo lakini waliwakuta wamezima kwenye room wote wawili baada ya kuji overdose madawa ya kulevya na M to the P yupo hoi hospitali.

Mwili wa marehemu upo katika hospitali ya Hellene Joseph.

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU