Mwanamuziki wa Hip-Hop ALBERT MANGWAIR amefariki dunia jana usiku huko
Afrika Kusini katika hospitali ya Hellena Joseph.
Alikuwa Ghetto Moja Na Msanii M To The P. Walivyokwenda Kuwagongea Asubuhi Walikuta Ngwear Amefariki Na M To The P Amepoteza Fahamu Kabisa.
Pia Daktari Ameshatoa Taarifa Kwa Watu Wa Karibu Wa Ngwear Huko South Africa.
Ngwea
akiwa na msanii M to the P. mtu wa karibu anasema
walitakiwa kurudi Dar leo lakini waliwakuta wamezima kwenye room wote
wawili baada ya kuji overdose madawa ya kulevya na M to the P yupo hoi
hospitali.
Mwili wa marehemu upo katika hospitali ya Hellene Joseph.
Mwili wa marehemu upo katika hospitali ya Hellene Joseph.





0 maoni:
Post a Comment