Mkurugenzi
wa kitengo cha mawasiliano wa Airtel Bi Beatrice Singano Mallya
(katikati) akiongea na mshindi wa nyumba wakati walipotembelea nyumba
yake kigamboni jijini Dar es salaam
Mshindi wa nyumba wa promosheni ya Airtel yatosha shinda nyumba bwana Silvanus Juma pamoja na mke wake wakiingia katika nyumba wakati walipotembelea nyumba kigamboni jijini Dar es saalam
Mkurugenzi wa kitengo cha mawasiliano wa Airtel Bi Beatrice Singano Mallya akimkaribisha mshindi wa nyumba bwana Silvanus Juma pamoja na familia yake wakati wa makabithiano ya nyumba yalifanyika kigamboni jijini Dar es Saalam
Mshindi wa nyumba wa promosheni ya Airtel yatosha shinda nyumba bwana Silvanus Juma akifurahia ushindi na mama yake mzazi mara baada ya kutembelea nyumba kigamboni jijini Dar es salaam
0 maoni:
Post a Comment