Thursday, August 29, 2013

NGUMI TEMEKE ZAPAMBA MOTO

Bondia Mohamedi Nassibu akinyooshwa mkono juu kuashilia mshindi wakati wa mashindano ya wazi ya mchezo huo yanayoenderea katika ukumbi wa CCM Kata 15 Temeke mwisho
Wasimamizi wa mashindano hayo wakifatilia kwa makini kushoto niRemmy Ngabo na Majeshi Kibilabila
Bondia Mussa Mohamed Kushoto akimshambulia Mselemi Abbas wakati wa mashindano ya wazi ya mchezo wa masumbwi yanayoenderea katika ukumbi wa CCMKata 15 Temeke mwisho Mohamedi alishinda kwa point
Bondia Mussa Mohamed Kushoto akinyoshwa kuwa mshindi baada ya mpambano huo
mabondia wakiwa katika picha ya pamoja
Mabondia Mussa Kimweri kushoto na Iddi Pialali wakiwa katika picha ya pamoja
Mabondia Mussa Kimweri
Mabondia wakioneshana umwamba wa kutupiana makonde

Bondia nasa Mafuru akioneshwa kuwa yeye ni bingwa Dhidi ya Mussa Kimweri wakati wa mashindano ya wazi
Mabondia Omari Kimweri kulia na Nasa Mafuru wakiwa wamepozi

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU