Warembo wa Redd's Miss Tz wakiwasili katika kambi ya
Taifa ya warembi hao kwenye Hotel Ya Giraffe Ocean View jijini Dar Es Salaam
ambapo warembo 30 wataanza kambi hiyo Leo,Katikati ni Mkurugenzi wa LINO
Hashimu Lundenga na meneja wa Kinywahji cha Redd's Original Victoria Kimaro
Warembo wakiingia hotelin leo hii
Meneja wa kinywaji cha Redd's Original Victoria
kimaro akizungumza na warembo wa shindano la Redd's Miss Tanzania waliowasili
jijini Dar es salam leo na kuingia moja kwa moja kambiani kujiandaa na shindano
la Taifa
0 maoni:
Post a Comment