Baadhi ya
wachezaji wa Klabu ya Mpo Afrika wakishangilia na Kikombe mara baada ya kuibuka
mabingwa katika fainali za mashindano ya Safari Pool Taifa ngazi ya Mkoa,Mkoa
wa Temeke iliyofanyika Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Mpo Afrika ilishinda
13-11 dhidi ya Klabu ya Sun City
Katibu Mkuu
wa chama cha Pool Taifa(TAPA), Amos Kafwinga akimkabidhi zawadi ya fedha
taslimu shilingi 350,000/= bingwa wa mchezaji mmoja mmoja wanaume(Singles),
Sulemani Cato mara baada ya kumfunga Nahodha wa timu ya Taifa Charles Venance
4-2.Dar es Salam mwishoni mwa wiki.
Mchezaji wa
timu ya Klabu ya Mpo Afrika na Nahodha wa timu ya Taifa, Charles Venance
akicheza wakati wa mechi ya fainali dhidi ya klabu ya Sun City wakati wa
mashindano ya Safari Pool Taifa Ngazi ya Mkoa,Mkoa wa Temeke iliyofanyika
mwishoni mwa wiki.
0 maoni:
Post a Comment