Tuesday, September 3, 2013

KALAMA NYILAWILA AJIFUA KUMTAFUTA THOMAS MASHARI

Bondia Kalama Nyilawila akijifua kujimalisha kusubili mpambano wake yeyer na Thomasi Mashari baada ya kumdhiaki yeye pamoja na Bondia mada Maugo aliyepigwa hivi karibuni kwa kuwaita midori yake.
Bondia Kalama Nyilawila akijifua kujimalisha kusubili mpambano wake yeyer na Thomasi Mashari baada ya kumdhiaki yeye pamoja na Bondia mada Maugo aliyepigwa hivi karibuni kwa kuwaita midori yake.
Bondia Kalama Nyilawila kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Shadrack Ignas wakati wa mazoezi yanayoendelea katika klabu yao iliyopo sinza makaburini Dar es salaam Kalama anafanya mazoezi kwa ajili ya kumtafuta bondia Thomasi Mashali baada ya kumdhiaki kwa kumuita yeye na mwenzie Mada Maugo kuwa ni Midori yake ambapo maugo amepigwa na bondia huyo hivi karibuni Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU