Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Mwenyekiti wa Asasi ya Kisiasa
ya Konrad Adenauer Foundation ya Ujerumani, ambaye pia ni Mbunge wa
Bunge la Umoja wa Ulaya, Rais Mstaafu wa Bunge la Umoja wa Ulaya Dkt. Han-Gert Pottering (kushoto) kwa Makamu, aliyeongoza
na Ujumbe wake wakati walipofika Ofisini kwa Makamu Ikulu jijini Dar es Salaam leo Sept 3, 2013 kwa mazungumzo
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa
katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Asasi ya Kisiasa
ya Konrad Adenauer Foundation ya Ujerumani, ambaye pia ni Mbunge wa
Bunge la Umoja wa Ulaya, Rais Mstaafu wa Bunge la Umoja wa Ulaya
Dkt. Han-Gert Pottering, aliyeongoza na ujumbe wake baada ya mazumzo
yao yaliyofanyika Ofisini kwa Makamu Ikulu Dar es Salaam,
leo Sept 3, 2013. Picha na OMR
0 maoni:
Post a Comment