Diwani wa
Kata ya Kitanzini Mkoani Iringa,Madam Jesca Msavatangu(wa pili kushoto) akiwa
kwenye maadamano na wachezaji wa Safari Pool Taifa ngazi ya mkoa wakelekea
katika Hospitali ya Rufaa ya Manispaa ya Iringa
kutoa msaada wa vitu mbalimbali kabla ya kuanza mashindano hayo
Diwani wa
Kata ya Kitanzini Mkoani Iringa,Madam Jesca Msavatangu(kushoto) akimkabidhi
Muuguzi Mfawidhi wa Hospitali ya Manispaa ya Iringa, Rustila Tung’ombe baadhi ya vitu walivyotoa msaada katika Hospitali hiyo ambavyo ni pamoja na
Sindano,Cloves,Sabuni na Machungwa kabla ya kuanza kwa mashindano ya Safari Pool Taifa ngazi ya mkoa
Diwani wa
Kata ya Kitanzini Mkoani Iringa,Madam Jesca Msavatangu(katikati) akicheza pool
kuashilia uzinduzi wa fainali za mashindano ya Safari Pool ngazi ya mkoa yanayofanyika katika Ukumbi wa Olfare mkoani
humo
Mchezaji wa
kike wa Pool wa mkoa wa Iringa, akimkabidhi mama na moto zawadi ya Sabuni na
machungwa kama pole wakati vilabu vya mkoa wa iringa vilipokwenda kutoa
pole na vifaa mbalimbali kwa wagongwa
kabla ya kuanza kwa fainali za mashindano ya Safari Pool ngazi ya mkoa
yalioanza jana mkoani humo
0 maoni:
Post a Comment