Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akisalimiana na Mbunge wa Arusha mjini Mhe. Godbles Lema nje ya ukumbi
wa mikutano wa A I C C Arusha, Baada ya kufungua mkutano wa siku 11 wa 34 kwa Mabunge ya Nchi
wanachama wa Jumuiya ya SADC katika ukumbi wa A I C C mjini Arusha leo 20
Octoba 2013. Kushoto Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nasari.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akizungumza na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Pandu Ameir
kificho kabla ya kufungua mkutano wa siku 11 wa 34 kwa Mabunge ya Nchi
wanachama wa Jumuiya ya SADC leo Octoba 20, 2013 katika ukumbi wa A I C C mjini
Arusha.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akiangalia vikundi vya sanaa vya ngoma za aina mbalimbali alipowasili
katika Jengo la Ukumbi wa mikutano A I C C mjini Arusha kwa ajili ya kufungua
mkutano wa siku 11 wa 34 kwa Mabunge ya Nchi wanachama wa Jumuiya ya SADC leo
Octoba 20, 2013.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akifungua mkutano wa siku 11 wa 34 kwa Mabunge ya Nchi wanachama wa
Jumuiya ya SADC katika ukumbi wa A I C C mjini Arusha leo 20 Octoba 2013.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akizungumza na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Pandu Ameir
kificho kabla ya kufungua mkutano wa siku 11 wa 34 kwa Mabunge ya Nchi
wanachama wa Jumuiya ya SADC leo Octoba 20, 2013 katika ukumbi wa A I C C mjini
Arusha.
0 maoni:
Post a Comment