Saturday, October 26, 2013

RAIS KIKWETE AAGANA NA BALOZI WA PAKISTAN NCHINI ALIYEMALIZA MUDA WAKE

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Balozi wa Pakistan nchini Mhe Tajammul Altac aliyefika Ikulu jijini Dar es salaam leo Oktoba 26, 2013 kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kufanya kazi.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Balozi wa  Pakistan nchini Mhe Tajammul Altac aliyefika Ikulu jijini Dar es salaam leo Oktoba 26, 2013 kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kufanya kazi.

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU