Rais Jakaya Kikwete akikata utepe
kuzindua zahanati katika Parokia ya Lugoba, wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani,
leo Oktoba 27, 2013 wakati wa sherehe za Jubilei ya Miaka 100 wa Parokia hiyo.i
ya Miaka 100 wa Parokia hiyo.
Rais Jakaya Kikwete na Askofu
Mkuu wa Kanisa Katoliki wa Jimbo la Morogoro Onesphory Mkude,
wakishuhudiwa na Askofu Mkuu wa Kanisa
Katoliki Jimbo la Tanga Anthony Banzi, wakiweka
jiwe la msingi katika kiwanja kitakachojengwa jengo la vijana katika
Parokia ya
Lugoba, wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani, leo Oktoba 27, 2013 wakati wa
sherehe za Jubilei ya Miaka 100 wa Parokia hiyo.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwaonesha
Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki wa Jimbo la Morogoro Onesphory Mkude, Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo la
Tanga Anthony Banz na viongozi wa mkoa
wa pwani iliyokuwa inaendeshwa na darasa alilosomea wakati alipokuwa shule ya
kati ilinayoendeshwa na Parokia ya Lugoba, wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani,
leo Oktoba 27, 2013 wakati wa sherehe za Jubilei ya Miaka 100 wa Parokia hiyo.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Askofu
Mkuu wa Kanisa Katoliki wa Jimbo la
Morogoro Onesphory Mkude, Askofu Mkuu wa
Kanisa Katoliki Jimbo la Tanga Anthony Banzi, viongozi wa mkoa wa pwani na
kamati ya walei ya Parokia ya Lugoba, wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani, leo
Oktoba 27, 2013 wakati wa sherehe za Jubilei ya Miaka 100 ya Parokia hiyo.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa
na Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki wa
Jimbo la Morogoro Onesphory Mkude, Askofu
Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Tanga Anthony Banzi, viongozi wa mkoa wa pwani
na kwaya pamoja na watoto wa shule ya Jumapili katika Parokia ya Lugoba, wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa
Pwani, leo Oktoba 27, 2013 wakati wa sherehe za Jubilei ya Miaka 100 Parokia
hiyo.
0 maoni:
Post a Comment