Saturday, October 19, 2013

TAARIFA YA MSIBA

Familia ya Marehemu Joel Mwendamaka wa Dodoma, wanasikitika kutangaza kifo cha ndugu Chaka (Joseph) Joel Mwendamaka, kilichotokea jana Alasiri,Hazina Mkoani Dodoma.

habari ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki wote popote walipo Dar es Salaam, Tanga, Dodoma, Mwanza, Arusha, Kigoma, Iringa, Mbeya, Uongozi na Wafanyakazi wote wa Dodoma Hotel. 

Mazishi yatafanyika Jumatatu Mchana Mkuzi, Muheza Tanga. Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe. 

- Amen

Taarifa imetolewa na Peter Joel Mwendamaka na Mwani Nyangassa

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU