Bondia Twaribu Mchanjo akishangilia ushindi baada ya kumdunda Kelvin Majiba kwa point. |
Bondia Emanuel Philomon kushoto akimtwanga makonde bondia Gaspar Hinde wakati wa mpambano wao philomon alishinda kwa K,O ya raundi ya nne. |
Bondia Abdul Zugo kushoto akipambana na
Hassani Manula wakati wa mpambano wao uliofanyika Gongolamboto Dar es
salaa mpambano huo walitoka nguvu sawa yani ni Droo picha na www.superdboxingcoach. blogspot.com
0 maoni:
Post a Comment