Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akimfariji Makamu Mwenyekiti wa CCM, Philip Mangula, wakati
alipofika nyumbani kwake Oysterbay jijini Dar es Salaam,jana jioni kwa
ajili ya kumpa pole kwa kufiwa na mtoto wake, Peter Mangula, aliyefariki
juzi asubuhi katika Hospitali ya Muhimbili. Peter anatarajia kuzikwa
kesho Ijumaa jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akisaini katika kitabu cha maombolezo ya mtoto wa Makamu
Mwenyekiti wa CCM, Philip Mangula, marehemu Peter Mangula, wakati
alipofika nyumbani kwa Mwenyekiti huyo Oysterbay jijini Dar es Salaam,
jana jioni kwa jili ya kumpa pole.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akiwafariji wanafamilia wa Makamu Mwenyekiti wa CCM, Phili
Mangula, wakati alipofika nyumbani kwa Mwenyekiti huyo Oysterbay jijini
Dar es Salaam, jana jioni kwa jili ya kumpa pole.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akijumuika na waombolezaji nyumbani kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM
Bara, Phil Mangula,aliyefiwa na mtoto wake, Peter Mangula.
Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye, akimfariji Makamu Mwenyekiti wa
CCM, Philip Mangula, wakati alipofika nyumbani kwake Oysterbay jijini
Dar es Salaam,jana jioni kwa ajili ya kumpa pole kwa kufiwa na mtoto
wake, Peter Mangula, aliyefariki juzi asubuhi katika Hospitali ya
Muhimbili. Peter anatarajia kuzikwa kesho Ijumaa jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye, akisaini katika kitabu cha
maombolezo ya mtoto wa Makamu Mwenyekiti wa CCM, Philip Mangula,
marehemu Peter Mangula, wakati alipofika nyumbani kwa Mwenyekiti huyo
Oysterbay jijini Dar es Salaam, jana jioni kwa jili ya kumpa pole. Picha
na OMR
0 maoni:
Post a Comment