Wednesday, November 27, 2013

WASHINDI WA DROO NDOGO YA CHAMPIONI 'SHINDA MAHELA' WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO LEO

Clement Michael (kulia) ambaye ni mkazi wa Mbagala-Zakhem, Dar, akikabidhiwa Sofa Set yake na Mr Championi.
Clement akichekelea baada ya kukabidhiwa zawadi yake ya Sofa Set leo nje ya ofisi za Global Publishers zilizopo Mwenge, Bamaga jijini Dar.
Bashir Hassan (kushoto) mshindi wa friji akikabidhiwa zawadi yake na Mr Championi nje ya ofisi za Global Publishers.
Radephili Mcharo (kushoto) akikabidhiwa jezi yake na Mr Championi.
WASHINDI wa Droo Ndogo ya Promosheni ya Shinda Mahela na Championi iliyochezwa juzi, leo wamekabidhiwa zawadi zao nje ya ofisi za kampuni ya Global Publishers & General Enterprises Ltd wachapishaji wa magazeti ya Championi, Uwazi, Ijumaa, Risasi, Amani na Ijumaa Wikienda zilizopo Bamaga, Mwenge jijini Dar es Salaam. Miongoni mwa washindi waliofika kuchukua zawadi zao ni Clement Michael mshindi wa Sofa Set, Bashir Hassan aliyejishindia Friji na Radephili Mcharo aliyejinyakulia Jezi.
(PICHA NA ISSA MNALLY / GPL)

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU