Thursday, January 9, 2014

HALI YA MAZINGIRA DSM

IMG-20140107-WA0007
Picha juu na chini ni magari ya kuzolea taka ngumu ya kampuni mbalimbali yakiwa kwenye foleni ya kuingia Dampo la Pugu Kinyamwezi ambalo miundo mbinu yake ni mibovu na kupelekea zoezi hilo kuchukua zaidi ya siku 4 mpaka kufanikisha kufikia eneo maalum la kumwagia taka ngumu.
.Ni kutokana na kukwama kwa magari ya taka kwenye Dampo la Pugu
.Siku ya tatu sasa magari ya taka yamekwama

IMG-20140107-WA0006 IMG-20140107-WA0004
Pichani juu na chini hii ndio hali halisi ya muonekana wa eneo la Dampo la Pugu Kinyamwezi. Kwa hali hii kweli jamani hata hayo magari ya kuzoa taka yaliyopewa zabuni ya kukusanya taka maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam yatadumu kweli....???

IMG-20140107-WA0010 IMG-20140107-WA0002 IMG-20140107-WA0005
Gari la kampuni ya Tirima Enterprises likipita kwa shida kuelekea eneo maalum la kumwagia taka ngumu.

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU