Monday, January 20, 2014

Mzee Arnold Wifred Nkhoma apumzishwa kwenye nyumba yake ya milele makaburi ya Kinondoni jijini Dar

DSC_0001
Baadhi ya waombolezaji waliofika kwenye msiba wa Mzee Arnold Nkhoma wakisaini kitabu cha maombelezo nyumbani kwa mmoja wa mabinti wa marehemu Prof. Alice Wamunza Nkhoma.
DSC_0007
Baadhi ya waombolezaji wakimfariji mmoja watoto wa marehemu Bi. Agnes Nkhoma Darch (katikati).
DSC_0074
Waombolezaji wakiwa nyumbani kwa mtoto wa marehemu Prof. Alice Wamunza Nkhoma, Changanyikeni - Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
DSC_0096
Roy Ledama (kushoto) akibadilishana mawazo na baadhi ya waombolezaji.
DSC_0109
Familia ya Marehemu Mzee Arnold Nkhoma pamoja na waombolezaji wakipata chakula cha mchana kabla ya kutoa heshima za mwisho.
DSC_0114
DSC_0148
DSC_0167
DSC_0198
Gari lilibeba mwili wa Marehemu Mzee Arnold Wifred Nkhoma likiwasili nyumbani kwa binti yake Changanyikeni, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
DSC_0201 DSC_0231
Wajukuu wa marehemu wakiwa wamebeba Jeneza la Babu yao kuliingiza ndani tayari kwa heshima za mwisho kabla ya kuelekea Kanisani kwa Ibada.
DSC_0238 DSC_0264
Mwili wa Mzee Arnold Wifred Nkhoma tayari kwa kutoa heshima za mwisho.
DSC_0330
Familia ya karibu ya marehemu.
DSC_0290
Kushoto ni mabinti wawili wa Marehemu wakiwa na ndugu zao wakaribu kwenye majonzi mazito.
DSC_0275
Vitukuu wa marehemu mzee Arnold Nkhoma.
DSC_0285 DSC_0295
Waombolezaji wakitoa heshima za mwisho.
DSC_0345 DSC_0360
Mtoto wa Marehemu Prof. Alice Wamunza Nkhoma akitoa heshima za mwisho kwa baba yake mpendwa Mzee Arnold Nkhoma.
DSC_0363
Mtoto wa marehemu Bi. Agnes Nkhoma Darch akitoa heshima kwa baba yake.
DSC_0366 DSC_0368
Mjukuu mkubwa wa marehemu Bi. Usia Nkhoma Ledama akitoa heshima za mwisho kwa babu yake.
DSC_0372
Vilio na simanzi vilitawala.
DSC_0374
Ndugu wa karibu wa marehemu wakiendelea kutoa heshima za mwisho.
DSC_0379
Mama Usia na mjukuu wake Vanessa Roy Ledama wakitoa heshima za mwisho kwa marehemu.
DSC_0381
Mjukuu wa marehemu Bi. Sawiche Wamunza Nkhoma akitoa heshima za mwisho kwa babu yake.
DSC_0383  
Kwa picha zaidi bofya hapa

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU