Thursday, February 13, 2014

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA UHAMASISHAJI NA UWEKEZAJI KANDA YA ZIWA JIJINI MWANZA

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati wa ufunguzi rasmi wa Kongamano la siku tatu la Uwekezaji na Uhamasishaji Kanda ya Ziwa, lililoanza leo Feb 13, 2014, jijini Mwanza
  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja wa Udhibiti wa Ubora wa kampuni ya Vic Fish, Jacob Maisele, wakati alipokuwa akitembelea mabanda ya maonyesho katika Kongamano la siku tatu la Uhamasishaji na Uwekezaji Kanda ya Ziwa, lililofunguliwa leo Feb 13, 2014 jijini Mwanza
 4:- Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwasili kwenye ukumbi wa Mkutano huo katika Hoteli ya Malaika Beach Resort, kwa ajili ya kufungua Kongamano la siku tatu la Uhamasishaji na Uwekezaji Kanda ya Ziwa, lililofunguliwa leo Feb 13, 2014 jijini Mwanza
 
  Baadhi ya washiriki wa Kongamano hilo kutoka katika Mikoa sita ya Kanda ya Ziwa, wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Bilal, wakati alipokuwa akihutubia kufungua rasmi kongamano hilo leo
  Baadhi ya washiriki wa Kongamano hilo kutoka katika Mikoa sita ya Kanda ya Ziwa, wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Bilal, wakati alipokuwa akihutubia kufungua rasmi kongamano hilo leo
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akifurahia jambo alipotembelea katika Banda la Mjasiliamali Donatha Swai, wakati alipokuwa akitembelea mabanda ya maonyesho katika Kongamano la siku tatu la Uhamasishaji na Uwekezaji Kanda ya Ziwa, lililofunguliwa leo Feb 13, 2014 jijini Mwanza. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mwasnza, Eng. Evarist Ndikilo.

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU