Thursday, February 13, 2014

MSHINDI WA MILIONI 10 ZA CHAMPIONI SHINDA MAHELA AKABIDHIWA MPUNGA WAKE

Mkurugenzi wa Global Publishers & General Enterprises Ltd, Marsha Bukumbi akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni 10 mshindi wa shindano la Championi Mahela, Kizito George Chuma (kushoto).
Kizito George Chuma akiwa ameshika mfano wa hundi yake ya milioni 10.
Kizito George Chuma akiongea na wanahabari (hawapo pichani) baada ya kukabidhiwa mfano wa hundi ya shilingi milioni 10 na Global Publishers Ltd.
Meneja wa Global Publishers Ltd, Abdallah Mrisho (katikati) akimtambulisha mshindi wa milioni 10 za shindano la Championi Mahela kwa wanahabari (hawapo pichani).
Mkurugenzi wa Global Publishers Ltd, Marsha Bukumbi (wa kwanza kushoto) akipozi na mshindi wa milioni 10 pamoja na wakala wa Magazeti ya Global aliyejishindia pikipiki aina ya Skymark kutoka kampuni ya Shinyanga Emporium.
Mkurugenzi wa Kamapuni ya Shinyanga Emporium, Ritesh Monami (kushoto) akimkabidhi pikipiki wakala wa magazeti ya Global Publishers Ltd, Majid Hamis.
Timu ya Championi ikipozi na mshindi wa milioni 10.
Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers Ltd, Eric Shigongo akimpongeza mshindi wa milioni 10.
Mhariri wa Gazeti la Championi Jumatatu, Ezekiel Kitula (kulia) akimpongeza Kizito.
Msanifu Kurasa wa Global, Huruma Bujiku (aliyekaa) akimuonyesha mshindi wa milioni 10 namna gazeti linavyoandaliwa. Aliyesimama kulia ni Meneja Masoko wa Global, Benjamin Mwanambuu.
...Kizito akisalimiana na Mhariri wa Gazeti la Uwazi, Ojuku Abraham.
Mhariri wa Gazeti la Risasi Mchanganyiko, Mohamed Kuyunga (kulia) akimpongeza Kizito kwa kulamba M10.
Mhariri Msaidizi wa Gazeti la Amani na Risasi Jumamosi, Erick Evarist (kushoto) akimkpongeza Kizito. Kizito akisalimiana na Mhariri Kiongozi wa Magazeti Pendwa, Oscar Ndauka (kushoto).
Kizito akifurahia jambo na Mhariri Msaidizi wa Gazeti la Ijumaa Wikienda, Aziz Hashim (kulia). Kushoto ni Walusanga Ndaki.
(PICHA ZOTE NA RICHARD BUKOS / GPL)

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU