Saturday, February 22, 2014

UZINDUZI WA ALBAMU KESHO; EXTRA BONGO WAAHIDI KUFUNIKA DAR LIVE

CODES:
Kiongozi wa Extra Bongo, Ally Choky, akizungumzia uzinduzi huo ndani ya hoteli ya Atriums iliyopo Afrika Sana, Sinza.
Mratibu wa Burudani Dar Live, Luqman Maloto, akizungumza na waandishi wa habari. Kushoto ni Choky na Muumin Mwinjuma.
Extra Bongo wakiwa katika picha ya pamoja na Maloto katika hoteli ya Atriums.
Wanamuziki wa Extra Bongo (kutoka kulia) Sharapova, Super Nyamwela na Titi Mwinyi wakijiandaa kutoa burudani kidogo.
...Titi, Super Nyamwela na Sharapova wakionyesha mbwembwe zao kwa wanahabari (hawapo pichani).
Mnenguaji wa Extra Bongo, Sharapova akiwa katika pozi.
Titi Mwinyi katika picha ya pozi.
Banza Stone mmoja wa vivutio katika uzinduzi huo wa kesho.
Titi, Nyamwela na Sharapova wakiwa katika pozi.
Wanamuziki wa Extra Bongo wakipozi pamoja na Muumin Mwinjuma kwenye ukumbi wa hoteli ya Atriums iliyopo Afrika Sana, Sinza.

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU