Monday, March 4, 2013

SHINDANO LA MIC KING LAZIDI KUCHANJA MBUGA

Mshiriki Ally Zuberi akichana mistari.
Arnold Mathias akichana mistari kivyake.
Bahati Charles akiwaonyesha majaji kipaji chake.
Boniface Mirumbe akilishambulia jukwaa.
Cosmas Milanzi akiwa ‘amejaa kujiamini’.
Washiriki shindano la Miss Utalii Taifa wakifuatilia The King Mic kwa makini.
Majaji Abdallah Mrisho (kushoto) na Ali Baucha wakiwa makini kufuatilia shindano hilo.
Mhudumu wa Dar Live akifuatilia shindano hilo kwa utulivu.
Baadhi ya warembo wa Miss Utalii wakiserebuka.
Pozi la warembo wa Miss Utalii.
SHINDANO la The Mic King limezidi kupamba moto ndani ya ukumbi wa Dar Live ulioko Mbagala-Zakhem, jijini Dar es Salaam, jana Jumapili ambako washiriki 11 walitoana jasho katika kuonyesha umahiri wa kuchana mistari ya hip hop.
Shindano hilo lilihudhuriwa na warembo watakaoshiriki shindano la Miss Utalii Taifa ambao wanafanya mazoezi ndani ya ukumbi huo.

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU