Thursday, November 18, 2010

BFT WARUDISHIWA UWANACHAMA WA AIBA SASA KUCHEZA MECHI ZA KIMATAIFA KAMA ZAMANI

Katibu mkuu wa BFT MASHAGA MAKORE .

Shirikisho la ngumi za ridhaa nchini BFT limerudishiwa uwananachama wake na shirikisho la ngumi za ridhaa DUNIANI AIBA baada y kufutiwa uwanachama kutokana na shirikisho lilopita kukumbwa na kashifa ya madawa ya kulevya.

MASHAGA amesema kamati ya utendaji ya AIBA ilikaa na kuamaua kukubari ombi la  BFT kutaka kurudishiwa uwanachama ili kuweza kushiriki vyema katika mashindano mbalimbali ya kimataifa

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU