Thursday, November 18, 2010

RASHID MATUMLA AMSHINDA MGANDA MED SEBYELA

            RASHID baada ya kumtwanga MGANDA MED SEBYELA
Hapa ulingoni kazi inaendelea

MATOKEO ya majaji wawili kati ya watatu yaliyomuwezesha bondia RASHID MATUMLA kushinda pambano dhidi ya bondia kutoka UGANDA, MED SEBYELA lililofanyika usiku  katika ukumbi wa PTA SABABA jijini DSM yameonekana kuwa na utata baada ya kutangazwa kuwa MATUMLA ameshinda.

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU