Mratibu wa tuzo ya injili HARRIS KAPIGA katika na kushoto ni mdhamini SADAKA
Wanamuziki watano wa muziki wa injili wamebahatika kuingia katika kategori zaidi ya moja ya kuwania tuzo ya muziki wa injili TANZANIA.
Mratibu wa tuzo hizo, HARRIS KAPIGA amezitaja jumla ya kategori KUMI na NANE zitawaniwa katika shindano hilo.
Wanamuziki waliofanikiwa kuingia katika zaidi ya kategori zaidi ya moja ni JACKSON BENT JOHN LISSU , AMBWENE MWASONGWE , AARON KYARA , ROSE MHANDO , UPENDO NKONE BAHATI BUKUKU na CHRISTINA SHUSHO.
MSANII BORA WA KIUME KWA UJUMLA WA MWAKA .
JACKSON BENT
BONIFACE MWAITEGE
FANUEL SEDEKIA
AMBWNE MWASONGWE
JOHN LISSU.
MSANII BORA WA KIKE KWA UJUMLA WA MWAKA .
CHRISTINA SHUSHO
UPENDO NKONE
ROSE MHANDO
BAHATI BUKUKU
JANE MISO
UPENDO KILAHIRO.
KUNDI BORA LA MWAKA
UPENDO GROUP
THE VOICE
CANAN BROTHERS
TM MUSIC
DOUBLE E
0 maoni:
Post a Comment