Friday, March 4, 2011

KATEGORI KUMI NA NANE ZA MUZIKI WA INJILI KUWANI TUZO

Mratibu wa tuzo ya injili HARRIS KAPIGA katika na kushoto ni mdhamini  SADAKA  

 Wanamuziki watano wa muziki wa injili wamebahatika kuingia katika kategori zaidi ya moja ya kuwania tuzo ya muziki wa injili TANZANIA.

Mratibu wa tuzo hizo, HARRIS KAPIGA amezitaja jumla ya kategori KUMI na NANE zitawaniwa katika shindano hilo.

Wanamuziki waliofanikiwa kuingia katika zaidi ya kategori zaidi ya moja ni JACKSON BENT  JOHN LISSU , AMBWENE MWASONGWE , AARON KYARA , ROSE MHANDO , UPENDO NKONE  BAHATI BUKUKU na CHRISTINA SHUSHO.

MSANII BORA WA KIUME KWA UJUMLA WA MWAKA .

JACKSON BENT
BONIFACE MWAITEGE
FANUEL SEDEKIA
AMBWNE MWASONGWE
JOHN LISSU.

MSANII BORA WA KIKE KWA UJUMLA WA MWAKA .

CHRISTINA SHUSHO
UPENDO NKONE
ROSE MHANDO
BAHATI BUKUKU
JANE MISO
UPENDO KILAHIRO.

KUNDI BORA LA MWAKA 
UPENDO GROUP
THE VOICE
CANAN BROTHERS
TM MUSIC
DOUBLE E 


0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU