Friday, March 4, 2011

TUZO YA MWANAMKE BORA KUTOLEWA MACHI 8 KATIKA UKUMBI WA MLIMAN CITY

 Kulia ni mkurugenzi wa maendeleo ya biashara wa kampuni ya FRONTLINE HELEN KIWIA .


ZAIDI ya wanawake KUMI na TATU wakiwemo waliochangia katika kuendeleza sekta ya SANAA, UTAMADUNI na MICHEZO watapatiwa tuzo wakati wa hafla ya kuwatunza wanawake wakati wa kilele cha siku ya wanawake itakayofanyika machi NANE mwaka huu  katika ukumbi wa MILIMAN CITY

Mkurugenzi wa maendeleo ya biashara wa kampuni ya FRONTLINE, HELEN KIWIA amesema tayari wanawake MIA TANO mwaka huu wamejitokeza kuwania tuzo hizo.

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU